“Bongo Kinabalu Mastaa Kibao Wanafanya Vitendo Vichafu R. Kelly Nyuma”- Diva

Mtangazaji wa Clouds Fm mrembo Loveness Malinzi maarufu kama Diva The Bawse amefungukia Sakata la Msanii mkubwa wa RnB Kutoka Marekani R.Kelly.

R. Kelly anatuhumiwa kwa kufanya vitendo vya unyanyasaji dhidi ya wanawake na ubakaji wa wasichana kuanzia umri wa miaka 12, 13 na kuendelea ambapo madhambi yake yalianikwa kwenye documentary ya ‘Surviving R. Kelly’.

download latest music    

Diva amepima uzito Suala hilo na kusema vitendo hivyo pia vinafanywa na wasanii wakubwa hapa Tanzania ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram, ameandika:

Nimeangalia #SurvivingR.Kelly toka juzi sijashangaa sana kiukweli zaidi ya kuumia. Tatizo liko kote. Kwa wazazi hasa. watu wengi ambao ni wanaitwa role model duniani watu maarufu wengi ni wachafu sana. Sana sana sana. Hata hapa Tanzania wapo zikiruhusiwa docuseries kama hizi tutasikia mengi sana na kuna hata watasema mtu anasingiziwa ili achafuliwe sababu pia fans hawa nao bendera fata upepo sana. Kwanza ndio wanapenda mambo ya ajabu .. So mejiuliza all the time ilikuwaje wakawa kimya? Na wasichana nao wakiona watu maarufu shobo nyingi sana zinakuwa … ndio matokeo kama haya . Very sad … as a woman i was truely hurt kwakweli. Tena hakunaga role model jaman watu hawako kama mnavyowafikiria. Huwa nakaa mbali sana na mwanaume anaenyanyasa mwanamke kwa njia yoyote ile .. awe rafik awe nani nakaa mbali …very heartless. Huwa i distance myself kabisa. The Love i have for Rkelly and his Music … im in pain . Na mauzo yake yameongezeka to 15% unaambiwa …. yan he is on top right now after the docu series. Smh …. wish hizi nazo zitokee Tanzania wanawake wawe free kuelezea wanavyoface kwa so called Role model mnaweza choka mshangae.. shame man!! The fact that uchunguzi umeanza na system ya america ime take action ngoja tuone ukweli ni upi. Ila wanaume jaman .. hii jamii . Watu kama hawa wamejaa …ila wuld luv to hear his side of the story kwakwel duh! Sad Gosh”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.