Brownmauzo Anywa Sumu Kisa Kimnana

Moja ya wasanii marufu na wanaofanya vizuri nchini keny brown mauzo amekutwa na kashfa nizto inayohusisha mapeniz  baaada ya kujlikana kwamba alikunywa sumu kisa mapenzi.

Msanii huyo ambae hivi karibuni ilisambaa video yake akiwa Hoi amebebwa na watu akiwa anapelekwa hospitali na kusemekana kuwa alikuwa amepigwa risasi kumbe haikuwa kweli kuhusu taarifa hizo.

download latest music    

Msanii huyo aliyeshindwa hata kufanya mahojiano na waandishi wa habari akiwa analia anadaiwa kutaka kujiua kwa kunywa smu baada ya kugundua kuwa mwanamke huyo anaempenda yeye yuko katika mahusiano ya kimapenzi na mwanaume mwingie.

Hata hivyo hakuna taarifa za wazi kutoka kwa mhusika ila watu wake wa karibu wamekuwa wakitoa hiyo taarifa na hata kusea kuwa msanii huyo alikuwa akija Tanzania kwa ajili ya Kimnana.

Na itakumbukwa kuwa wiki kadhaa zilizopita , msanii huyu aliwahi kusemakatika kurasa zake kuwa amekuwa akiishi under stress kutokana  na kuvunjika kwa mahusiano yake na msichana mmoja aliyekuwa akimpenda sana.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.