Chid Benz Kufuata Nyayo za Suma Lee

Msanii Chid Benz amefunguka na kusema kuwa kwa sasa  anampango wa kuachana na shughuli za muziki na kuamua kumtumikia mwenyezi Mungu, hatua ambayo imechukuliwa na baadhi ya wasanii katika muziki hapa  bongo.

Chid benz anasema kuwa ktendo cha kukutana na Abdulrazac kwake kimempa mawazo na kutaa kuchukua hatua thabiti ya kumtumikia mungu badala ya kuendelea na mambo ya kidunia.

download latest music    

Ikumbukwe kuwa shekh huyo ndie alietangaza hivi karibuni kuwa amekuwa na kiu ya kutaka kumbdilisha sana msanii huyo pamoja na alikiba li kumtumikia mungu na kuacha mambo ya kidunia, hsa kwa upande wa chid inakuja baada ya kiongozi huyo wa dini kuona kuwa mwanamuziki huyo amekuwa akiangaika sana .

kumtumikia mungu kwa wsanii kunaziid kuongezeka hasa baada ya wasanii kam Suma lee, mzee Yusuph na Saigon kuamua kujitoa katika sanaa na kumrudia Mungu.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.