Chid ni Msanii Mkubwa Anapaswa kupewa Hesima Yake :-Shiloleh

Mwanadada Shilole amefunguka na kusem kuwa sabau kubwa iliyomfanya yeye kumshirikisha Chid benz katika wimbo wake mpya ni kwa sababu Chid benz ni msanii kama walivyo wasanii wengine na wala sio vinginevyo.

Akiulizwa kuhusu baadhi ya wasanii kuwa wakimsema na kumuweka katika makudi mabaya shiloleh anasema kuwa watu wanatakiwa kungalia aliotoka Chid Benz na kitu alichowahi kufanya katika muziki wa bongo fleva na sio kumdhaurau kwa sasa kwa sababu ameshuka.

download latest music    

watu hawaelewi tu, chid benz ni msanii mkubwa sana na anapswa kuoewa heshima yake kwa sababu ameweka mchango  mkubwa sana katika kuisimamsiah bongo fleva,  kwanini watu wanasema kuwa sio msanii? Na mimi nilimchukua yeye kwa sababu chid ana uweoz wa kuandika ngoma kuliko hata wanavyofikria wao.

Shiloleh anakiri kuwa ngoma yake mpya ambayo amemshirikisha chid benz yeye hakuiandika bali iliandikwa na chid benz mwenyewe.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.