Christina Shusho Akana Tuhuma Alizotupiwa na Kiben-10 Chake

Msanii wa nyimbo za Injili Christina Shusho amekana tuhuma zinazomkabili dhidi ya kijana mdogo (kiben-10) aliyedai kuwa Christina alimtaka kimapenzi kwa nguvu.

Siku chache zilizopita kijana mwenye asili ya Kenya aitwaye Nelson Tiger ambaye pia alikuwa ni director katika albamu yake ya ‘Ning’are’ alidai kuwa Christina Shusho alitumia nguvu za giza kumgombanisha na mpenzi wake ili atembee naye yeye.

download latest music    

Nelson Tiger alidai kuwa alikutana na Christina Shusho nchini Nairobi alipoenda kufanya video kadhaa za nyimbo zake na Nelson ndiye aliyekuwa ana direct video zake lakini alipogundua kuwa Nelson ana mpenzi alikasirika sana hasa alipokuja naye Tanzania.

Nelson alidai kuwa Christina alianza kutumia uchawi na nguvu za giza ili kuvunja uhusuano wake na girlfriend wake ili awe sugar mamii wake kwani alishasikia kuwa Christina Shusho anapendelea wanaume wenye umri mdogo kuliko yeye.

Lakini Christina mara moja amekana tuhuma hizo nzito ambazo yeye kama muimbaji wa nyimbo za dini skendo hizo zinakuwa zinamchafua sana hivyo kupitia ukurasa wake wa Instagram Christina aliandika ujumbe huu:

In life you will realize there is purpose for everyone you meet some are there to test you, some are there to teach you, some will use you, and some will bring the best out of you, Good morning”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.