“Content muhimu” Ujumbe Idris Sultan alitoa kwenye mtandao baada ya Diamond kuzindua perfume

Leo staa wa Bongo Diamond Platnumz alizundua perfume yake pale GSM Mall na Idris Sultan akawa wa kwanza kuzungumzia jambo hilo kwenye mitandao.

Kwanza alitaka kucongratulate diamond kwa juhudi zake pamoja na familia yake lakini pia alitoa onyo.

download latest music    

Na onyo ndilo hili:

 

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi