Dada Wa Daimond aliekuwa Akiishi Nje awasili Dar, Amuombea Msahama Baba yake

Dada wa msanii diamond platinumz kutoka nje ya nchi amewasili nchini tanzania huku lengo kubwa likiwa ni kwa ajili ya kuwakutansiah Diamond na baba yake kwa ajili ya mazungumzo na kuweka mambo sawa.

Haba huyo ambae kwa muda mwingi amekuwa akilalamika kuwa hapatani kabisa na mtoto wake na kwamba mtoto wake hamjali kutokana na hasira ya kumtelekeza mama yake akiwa mdogo  ameamua kuongea na dada yake huyo ili kuja tanzania na kufanya maswala ya usuluhishi.

download latest music    

Hata hivyo mwanadada huyo kutoka marekeni ameomba msamaha mbele ya waandishi wa habari akiwa uwanja wa ndege na kutaka familia ya Diamond kukubali mwitiko wake pale anapotaka kuongea nao ili kufanikisha lililomleta tanzania.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.