Diamond aeleza sababu ya Alikiba kuwa kwa ofisi yake

Watu wengi wanadhani kuwa Diamond anamchukia Alikiba lakini hii si ukweli wa mambo. Diamond hana chuki na mpinzani wake kwani ata ako na picha ya Alikiba kwa ofisi yake.

Akiongea na Cloud FM, Diamond alieleza sababu ya Alikiba kuwa kwa ofisi yani ni kuwa yeye anawatambua wasanii wote wa Bongo ambao wana mchango mkubwa kwa muziki wa Bongo Flava.

download latest music    
Diamond akiwa kwa ofisi yake na msanii Willy Paul kutoka Kenya. Nyuma yao ni picha kadhaa za wasanii mbalimbali wa Bongo Flava

“Ile siyo ofisi ya Diamond, Rich Mavoko, Harmonize, siyo ofisi ya Tale, ni ofisi ya muziki wa Bongo Flava ambayo imeweka kuona ni kwa namna gani inaweza kuinua muziki wa Bongo Flava. Bongo Flava haikuletwa hapa tu pekee yangu na wana WCB lakini kuna wasanii tofauti tofauti wana mchango wao katika muziki wa Bongo Flava, so tumeweka baadhi ambao wanamchango, tulitamani tuweke wengine wengi lakini nafasi isingetosha, tumechagua wachache ambao wana mchango,” amesema Diamond.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere