Diamond aendelea kuwa kicheko mitandaoni kwa kuwa hawezi ongea kingereza

Diamond kwa kweli hawezi ongea kingereza ata kwa hii miaka yote ya kuwa star.

Hii ilibainiwa wazi kwa post zake kwenye instagram akitayarisha watu kwa uzinduaji wa Chibu perfume unaotarajiwa kufanyika kesho.

download latest music    

Also read: Tazama hii gari ya kifahari Diamond Platnumz alinunua pale kwake South Africa

Hapo ndipo alipofanya makosa mengi ya lugha iliyofanya awe kicheko kwa wengi.

Na hata baada ya hilo, bado anaendelea kufanya makosa.

Ebu tazama hapa:

 

 

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi