Diamond Aiangukia BASATA Aomba Japo Kuperfom ‘Mwanza’ Stejini

Msanii wa muziki wa Bongo fleva na CEO wa WCB Diamond Platnumz ameibuka na kuiomba ruhusa Baraza la Sanaa kutumia wimbo wake walioufungia wa Mwanza kuperfom stejini.

Wiki chache zilizopita wimbo wa ‘Mwanza’ ulitoka lakini mara moja BASATA waliufungia wimbo huo kwa madai ya kukiuka maadili ya Kitanzania kwa kubeba ujumbe wenye lugha ya matusi.

download latest music    

Lakini Diamond Platnumz amefunguka na kuwaomba Basata kuutumia wimbo wao ba Rayvanny wa Mwanza kwenye tamasha lao la Wasafi Festival 2018.

Kupitia ukurusa wake wa Instagram Diamond ameandika hayo.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.