Diamond Atangaza Ujio Wa Msanii Mpya Wa Kike WCB

Msanii wa muziki wa Bongo fleva na Mkurugenzi wa Music Label ya WCB Diamond Platnumz ametangaza rasmi kumsaini Msanii wa pili katika label ya WCB.

Diamond alitangaza habari hiyo njema siku ya Ijumaa kwani kwa muda mrefu Label hiyo imekuwa na utaratibu wa kudai ni wasanii wa kiume tu bil kuwapa nafasi wasanii wa kike.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Diamond ameandika ujumbe huu:

About to introduce a FEMALE Artist….. Coz i believe Women they can, if you Empower them….” (Nipo mbioni kumtambulisha msanii wa kike (WCB), kwa sababu naamini wanawake wanaweza, wakiwezeshwa)“.

Mpaka sasa haijajulikana ni Msanii gani wa kike ambaye atatambilishwa ingawa Baadhi ya mashabiki wamekuwa wakihisi nafasi hiyo huenda akaipata mwanadada Nandy ila Diamond mwenyewe hajathibitisha hilo.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.