Diamond Atia Neno Baada Ya Naibu Waziri Kucheza ‘Mwanza’

Msanii wa muziki wa Bongo fleva na CEO wa WCB Diamond Platnumz ameibuka na kutia neno Baada ya video iliyomuonyesha Naibu Spika Dr. Tulia Akson akiwa anacheza na kuimba wimbo wa ‘Mwanza’ uliofungiwa.

Mwezi uliopita Baraza la Sanaa Tanzania liliufungi rasmi wimbo wa ‘Mwanza’ ulioimbwa na Diamond Platnumz kushirikiana na Rayvanny kwa madai ya kukiuka maadili ya Kitanzania.

download latest music    

Siku chache zilizopita video iliyowaonyesha viongozi mbali mbali wa Bunge ikiwemo Dr. Tulia wakicheza wimbo wa Mwanza wakiwa anasheherekea ushindi wake dhidi ya Uganda ilisambaa kwenye mitandao ya kijamii na kuzua gumzo.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond ametoa neno kuhusu video  hiyo huku akimshukuru sana kwa sapoti:

https://www.instagram.com/p/Bq7C-71lEan/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=3zs8izof9c0q

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.