Diamond Awaomba BASATA Waruhusu Wimbo Wao Upigwe Muda Wa Usiku Watoto Wakiwa Wamelala

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz ameibuka na kuliangukia Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) liruhusu japo wimbo wao na Rayvanny upigwe usiku watoto wakiwa wamelala.

Siku ya jana Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) lilitangaza kuufungia wimbo huo kwa madai ya kukiuka maadili ya Kitanzania kutokana na maneno yaliyoimbwa kwenye nyimbo hiyo.

download latest music    

Diamond ameibuka na kulalamikia uamuzi huo wa BASATA na kuwaomba wafikirie na kutafuta njia ya kuiacha nyimbo hiyo kuendelea kupigwa kwenye kumbi za starehe na ipigwe mida ya usiku watoto wakiwa wamelala Lakini pia ameomba wimbo huo urudishwe kwenye mtandao wa YouTube.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond ameandika:

https://www.instagram.com/p/BqHLwGaFvfE/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1j577yw2ugopk

https://www.instagram.com/p/BqHM7WhlEou/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=retbexv8i8mf

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.