Diamond Platnumz Atoa Kilio Chake Kwa Raisi Jakaya Kikwete

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ameandika waraka mzito kuhusu muziki wa Bongo fleva na mchango wa Rais Jakaya Kikwete.

Raisi mstaafu Jakaya Kikwete ambaye alikuwa mdau mkubwa sana wa Muziki wa Bongo fleva alikuwa anashehwrekea siku yake ya kuzaliwa jana na wasanii mbali mbali walimkumbuka akiwemo Diamond.

download latest music    

Diamond Kupitia ukurasa wake wa Instagram alikumbuka mchango mkubwa wa Raisi Kikwete kwa muziki wa Bongo fleva ambapo ameikosoa serikali ya sasa kwa kutofanya hivyo.

Miezi michache iliyopita serikali ilitangaza kuacha kuwatumia wasanii wa filamu na muziki na Bongo fleva katika kampeni zao za kisiasa hasa katika chaguzi kuu hii ni baada ya skendo zilizotokea baada ya kampeni za mwaka 2015.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.