Dogo Janja afunguka kuhusu mavazi yake

Rapper wa bongo Dogo Janja ni mmoja wa wasanii ambao wanatambulika kuvaa kama mastaa wa uingereza. Yeye mwenyewe huwa na style yake mwenyewe na hapo awali aliwahi kudai kuwa hakuwa msanii ambaye anaweza kufikia kiwango cha kuvalia.

download latest music    

Hivi karibuni alifunguka kuongea kuhusu mavazi yake katika mahojiano na Dj Show ya Radio One. Kulingana na Dogo Janja watu wengi wamekuwa wakidhani mtu anapaswa kuwa na hela mingi ili apendeze kitu ambacho si cha ukweli… Dogo alisema;

“Watu wamekuwa wakilinganisha muonekano wangu na fedha, ninachoamini kuvaa sio fedha nyingi sana ila kuvaa ni passion ya mtu, so kila mtu anavaa ndio maana nikasema ukivaje unapendeza kitu ambacho kipo watu wanavaa huwezi kutembea utupu hata siku moja,”

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua