Dogo janja Akumbuka Zamani

Msanii Dogo Janja Amerudi na kukumbuka kule alikotoka baada ya kuikabidhi shule aliyosomea darasa la kwanza mpaka la saba kwa kuwapa ndoo za rangi 20  pamoja na kuamua kukarabati shule hiyo kwa kuweka mabati.

Dogo janja mabae laisoma shule ya ungalimitied arusha, ameamua kurudisha fadhila na kukarabati mazingira hayo ili kuwasaidia wanafunzi waliopo sasa kusoma katika mazingira sala na safi.

download latest music    

Huu ni wakati mabao Dogo janja amekuwa akijitolea kwa jamii yake  kwa sababu tangu amekuwa Arusha ambao ndiko aliozaliwa , ameamua kujirudi kwa jamii yake na hata kujenga nyumba kwa ajili ya mama yak mzazi.

katika ukurasa wake wa instagra  Madee aliandika ; leo mapema @dogojanjatz alirudi kwenye shule #Ungalimited alisomalakwanza mpaka ka saba na kutoa ahadi ya kupiga rangi shule nzima na bila kuchelewa akapiga simu kiwandani na kuletwa ndoo kama zote … pia atapiga bati shule nzima

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.