Dogo Janja Atoa Darasa kwa Wanawake Wasidanganyike.

Msanii Dogo Janja amewataka wadada kutodanganyika na wanaume na kuwa nao makini kwa sababu wanaume wengi wamekuwa wakitumia uongo kuwanasa wanawake na wakishawapata baadae wanawake wanaanza kujutia maamuzi yao.

dogo janja anasema kuwa wanaume wengi so wakweli kama ambavyo wanawake wanavyozani lakini wanapokuja huja na njia nyimgi zinazowafanya wadada waamini kuwa mwanaume anamtaka anaongea ukweli,dogo janja ameyaongea hayo alipokuwa akizungumza na kipndi cha DADAZ kinachorushwa na  EATV.

download latest music    

Unajua vijana wegi ni waongo sana tena hasa wanaume ni waongo sana,ogopa sana mwanaum anaekufata na gari , heshimu anaekufata na mguu maana anakuwa yuko real.anakueleza kuwa anakupenda na maisha yangu yako hivi na hivi , ninaweza kuatafuta nikapata au nikakosa kuliko anaekufata na kukupeleka huku mara kule mara akununulie wigi la laki 8,mwishowe ananza kukopa na kukuongopea.

Dogo janja ameamua kujitolea mfano yeye mwenyewe na kusema kuwa wakati anamfata Irene alimwambia ukweli kuwa hana kitu kikubwa na kwamba uwezo wake ni wa kawaida tu.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.