Dogo Janja- Mbali Ya Muziki Nafanya Biashara

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Abdul Chande maarufu kama Dogo Janja amefunguka na kuweka wazi kuwa mbali na kufanya muziki Lakini pia ni mfanyabiashara.

Dogo Janja ambaye anafanya vyema kwenye tasnia ya muziki nchini ameweka wazi kuwa pamoja na kuupenda muziki Lakini anaamini ni vyema Kuwa na kitu kingine cha kufanya.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Dimba, Dogo Janja amesema kuwa amekuwa akifanya biashara zake nje ya muziki wake ambazo zimekuwa zikimwingizia kipato kizuri na kujivunia kuifanya kwa moyo mmoja.

Nafurahi nafanya biashara ambazo zinanilipa nje ya muziki wangu, nafurahia kile ninachokifanya kwa kuwa biashara zangu zimekuwa na manufaa makubwa kwenye maisha yangu”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.