Dogo Janja na Young Dee Hawaniwezi Kwenye kazi;-Young Killer
Msanii wa hip hop nchini young kileer ameibuka na kusema kuwa wasanii wenzake wawili vijana young dee na Dogo Janja hawamuwezi katika kazi za muziki kwa kuwa yeye ni bora kuliko hao wengine .
Hii inaweza kuleta tena ugomvi tena kwa mara ya pili kwa sababu hii sio mara ya kwanza kwake kuongea hivyo na kuzuka wimbi la maneno katika mitandao ya kiamii kuhusu kushindana kwao huko.
kwa upande wa Young Dee alishawahi kusema kuwa yeye kwa wenzake hao wawili ni mkongwe na hakupenda hata siku moja kulinganishwa nao kwa sababu uwezo wake ni mkubwa zaidi.
kwenye kazi dogo janja na young dee hawaniwezi hao ni wadogo zangu sana.mimi ndio mkubwa wao katika kazi.