Dr. Shika ‘900 Itapendeza’ Azidi Kuukwaa Ustaa

Dr. Louis Shika amezidi kuuvaa ustaa kwa nguvu na kwa kasi ya ajabu, hivi sasa utamuona Dr. Shika au wengi hupendelea kumuita 900 Itapendeza kwenye matangazo ya bidhaa mbali mbali utamuona amepozi na warembo wakali lakini pia amepiga picha na mastaa mbalimbali.

Dr. Shika alipata umaarufu kwa spidi ya 4g wiki chache zilizopita baada ya kuenda kwenye mnada wa nyumba za Lugumi na kununua nyumba tatu zenye thamani ya mabilioni kisha kushindwa kuzilipia hivyo kusababishwa kupelekwa polisi lakini hata baada ya kuachiwa Dr. Shika amezidi kusisitiza kuwa atalipia nyumba zile.

download latest music    

Siku ya juzi kuna picha ilienea ikimuonyesha mwanamuziki wa Bongo fleva Dogo Janja akiwa na Dr. Shika huku wengi wakidhani kuwa labda ataonekana kwenye moja ya video za Dogo Janja.

 

Huzi ni baadhi ya picha navudeo zinazo muonyesha jinsi Dr. Shika anavyokula bata hivi sasa na warembo kumkubali baada ya umaarufu wake:

Dr. Shika akiwaakiwa viwanja amezungukwa na warembo

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.