Dudu baya Amtupia Dongo Ney wa Mitego na Kumwita Mwanamke.

Msanii mkongwe wa bongo felva, Dudu baya amezungumza nawaandishi wa habari na kutoa maodongo yake kwa msanii mweznie ney wa mitego kutokana na kile alichokifanya cha kuingilia ugomvi kati ya Shiloleh na Muna lov ulioibuka siku za hivi karibuni.

Hapa awali kulikuwa na maneno aliyoyatoa sishi baada ya Muna kuongelea swala la mtoto wake aliyefariki na kumtaja baba wa mtoto huku akikana kujua peter ambae wengi walikuwa wakijua kuwa ndie baba wa mtoto, hata hivyo Shiloleh alikwazwa na amneo ya muna na kitendo cha kuita waandisi wakati msiba bado haujaisha na kumwita mnafiki na kwamba anatafuta kiki.

download latest music    

Baada ya maneno ya Shisi, Nay wa mitego nae aliiibuka na kusema kuwa Shiloleh anatafuta kiki ya wimbo mpya kupitia Muna na ndipo dudu baya bae kaibuka na kusema kuwa ukimuona mwanaume kama nay anaingilia maswala ya kike huyo aakuwa na homoni mbili zinamsumbua.

Dudu baya anasema “Ukiona mwanaume yeyote amekurupukia jambo la wanawake na wamezozana na yeye akaegemea upande mmoja, ujue huyo ni mwanamke mwenye homoni mbili yaan ya kiume na ya kike , na ndio maana watu wa hivyo wanaingiliaga  sana mambo ya wanwake , mimi sijawahi kuona hata nicki minaj anaingiliwa na bosi wake, waangalia wakina lily wyne, wakina p.diddy hawaingiliagi hayo mambo wanajua kabisa kuwa ni ya wanawake.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.