Ebitokea Aongelea Kutoka na Mume wa Mama Ashura

Mwanamaigizo upande wa vichekesho kutoka katika kundi la Timamu, Ebitoke amefunguka na kuongelea tetesi za muda kidogo ambazo zinamtuhumu yeye kuwa amekuwa katika uhusiano wa kimapezni na bosi wake ambae pia ni mume wa mama Ashura.

kwa wale wanaosema kuwa eti mimi nimempindua hiyo sio kweli wakati yupo tumemficha sehemu, tutamleta tu.Mama Ashura yupo ila kwa sasa anaendelea na mambo mengi, tutamleta tu atarudi na watu wataendelea kumuona kama zamani ila kwa sasa hivi yupo kidogo kuna mambo anayafanya.

Tetesi zilizokuwa zimeenea katika mitandao ilikuwa ni kwamba Ebitoke amekuwa akitoka kimapenzi na mume wa Mama Ashura kitu kilichopelekea wasanii hao kugombana na hata mama Ashura kuacha kufanya kazi katika kundi lao na kwa sababu walikuwa wakikaa nyumba moja basi Mama Ashura ilibidi kuwapisha wawili hao.

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.