Esha Buheti Amchana Wema Kwa Picha Chafu Alizovujisha

Muigizaji wa Bongo movie Esha Buheti ameibuka na kumchana Msanii mwenzake Wema Sepetu baada ya kuvujisha picha na video chafu zinazomuonyesha yeye na mume wake mtarajiwa.

Siku ya jana Wema alitengeneza headlines baada ya kumtambulisha mwanaume anayetambulika kama Patrick na kusema ndiye mume wake mtarajiwa lakini baada ya kuposti video iliyowaonyesha wawili hao wakibusiana ilizua gumzo zaidi.

download latest music    

Esha Buheti ambaye ni rafiki mkubwa wa Wema alishindwa kuvumilia na kumuandikia barua ya wazi ambapo amemchana laivu na kumtaka aache kufanya mambo ambayo yanamuaibisha.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Esha Buheti aliandika ujumbe huu:

Wema ametangaza uhusiano na mwanaume ambaye anasemekana tayari ana wake wawili Lakini pia kijana huyo ameshawahi kumrushia maneno ya kejeli Wema na Familia yake Kupitia mitandao ya kijamii.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.