Esma Afunguka, Anatamani Diamond Nae Aoe

Dada wa msanii mkubwa nchini, Diamond Platinumz amefunguka mazito kuhusu maishaya ubachela aliyonayo mdogo wake diamond platinumz kwa sasa.Esma ambae anasema kuwa anatamani sana furaha aliyokuwa nayo dada yake na alikiba (zabibu kiba) siku ya harusi ya alikiba ambayo ilifanyika april 19 awe nayo yeye kumuona kaka yake anaoa.

Katika ukurasa wake wa instagram, Esma aliamua kumjibu kaka yake diamond ambae aliandika maneno yenye kumpongeza alikiba kuwa amesikia alikiba ameoa .

download latest music    

Sio mi suti tuu, mfanye na nyie muoe, sio mnatufanya tunatukanwa tu kila siku , tuheme na kina sie, miwani tu , kheri ya ndoa , mungu akawatangulie na kuwatia nguvu na furaha ndoa yenu idumu naimani na sisi ipo iku tutafurahi kama zabibu lo kama nakuona ulivyo na furaha daah naona donge mimi.

Diamond ambae mwaka huu alitangaza kuwa hauwezi kuisha bila kuoa ,anaonekana bado hajaamua kuona hasa baada ya kuonekana mitandaoni bado akiwa na kila dizaini ya wanawake hivyo hii inaonyesha kuwa bado hajachagua mwanamke wa kuoa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.