Esma Akana Tuhuma Za Kula Njama Za Kumchafua Mobetto

Dada wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Esma Platnumz ameibuka na kuandika waraka mrefu wa kukana tuhuma zinazomkabili yeye na kama yake za kumchafua Hamisa Mobetto.

Siku mbili hizi kuna taarifa zilienea Kwenye mitandao ya kijamii kuwa Hamisa Mobetto ameenda kwa mganga wa kienyeji kwa nia ya kuwatengeenezea dawa Familia ya Diamond impende na yeye aolewe na Diamond.

download latest music    

Lakini kuna taarifa nyingine ziliibuka kuwa voice note ambaye Esma na Mama Diamond walisema ilikuwa ni Hamisa Akiongea na mganga ilikuwa ya uongo na inasemekana voice note hiyo ilikuwa imepikwa na Mama Diamond kwa nia ya kumchafua na kumpoteza Mobetto.

Baada ya Tuhuma hizo Esma ameibuka na kudai kwamba yeye pamoja na mama yake hawawezi fanya kitu kama hicho kwa Mobetto.

Dada bora ukae kimya halafu unapata zambi kumshilikisha Mwenyezi Mungu ktk swala km hili kuongopa vitu mbona sie wenyewe tupo Kimya au ndio mnatapatapa embu mjitulize jamani hata MUNGU HAPENDI kwani ye ndio Muamuzi plz naomba msinitungie uongo wa kijinga jinga mlichokifanya wenyewe mnakijua na nafsi zinawasuta sipendi kuniingiza ktk uongo wa kijinga msijisafishe kutaka kuchafua watu. Huyo huyo mama mnaotaka awapende kutwa mnachamba na kumtungia uongo naombeni mkitaka kuweka uongo wenu bora mniweke mimi sio mamaangu. MLICHOFANYA MNAKIJUA
#temporarypost?#mfaMajiHamuishiKutapatapa”.

Lakini pia Esma aliongeza:

Katika maisha ni vema kukaa kimya pindi ukikosea na hasa ukijua wazi kuwa nimekosea ila ukijaribu kufuta au kusawazisha kosa kupitia njia za wasiogusa maisha yako ujue kosa linazaa kosa…Ungetulia maana watu wameshiba vielelezo na ushahidi 100%”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.