Esma Amkana Hamisa Mobeto Kweupe

Mwanadada Esma Platinumz amemkana Hamisa Mobeto kwamba  sio rafiki yake tena kwa sasa hivi na kusema kuwa hajui chochote kuhusu mahusiano ya rafiki yake huyo na  kaka yake Diamond Platinumz.

Akiongea katika sherehe waliofanya wikiend iliyopita walipokuwa wakiukaribisha mwezi mtukufu wa ramadhani, esma anasema kuwa hajui chochte kuhusu mahusiano ya wawili hao na ndio kwanza ameyasikia kutoka kwa mtangazaji huyo na kama ni kweli basi hana cha kuzungumza kuhusu hilo.

download latest music    

 Ndo kwanza nasikia kwako taarifa hizo wala hata sijui kama wamevalishana pete,hamisa mobeto alikuwa rafiki yangu lakini no comments,alikuwa rafiki yangu lakini sio kwa sasa hivi.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.