Esma Apiga Dua Ndoa Ifanikiwe

Mwanadada esma platinumz ambae ni dada wa msanii Diamond platinumz amefunguka na kuonyesha wasiwasi wake katika swala zima la kufungwa kwa ndoa kati ya kaka yake na mwanadada tanasha kutoka nchini kenya.

Esma ameonekana kuwa na wasiwasi huo mpaka kufikia hatua ya kushusha sala katika moja ya picha aliweka kaka yake kuhusu mwanamke wake huku akiomba ndoa iyo itimie.

download latest music    

Ukiachana na walimwengu kuwa na wasiwasi na kusema ndoa  hiyo haiwezinkufanikiwa, hayo yote yanakuja kutokana na kutokuwa makini kwa Diamond platinumz amvae anakuwa na mahusiano na wamawake tofauti na kutangaza ndoa lakini kushindwa kuwaoa.

 

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.