Faisal Ally asisitiza lazima afanye upasuaji wa matiti ili aonekane sexy

Faisal Ally ambaye anajulikana sana kwa sababu ya movie zake za Bongo na pia mitindo yake ya kimavazi, alifunguka na kusema lazima afanye upasuaji wa matiti kuwa binti mdogo.

Faiza ambaye ako na wawili kwa sasa, alisema kuwa akimaliza kunyonyesha mtoto aliyemzaa hivi karibuni ataenda kufanya operesheni ya matiti kuyarudisha ndogo.

download latest music    

Soma pia: Faiza Alley ajifungua mtoto wa pili (video)

“Unajua kila kitu ni kupanga kwa sababu huyu baba wa mtoto wangu wa pili ni Mmarekani na hatukuwahi kupanga kuishi pamoja zaidi ya kuja labda kwa mara moja kuona mtoto wake basi. Kwa sasa sina mpango wa kuongeza mwingine tena nikimaliza kunyonyesha nitaenda kufanya operesheni ya matiti kuyarudisha saa sita yaani nirudi msichana kabisa labda,” alisema Faiza katika mahojiano na Ijumaa.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere