Faiza Ampongeza Diamond Kwa Kumkubali Mtoto Wa Hamisa

Mwanamitindo Faiza Ally amefunguka na kumpongeza Diamond kwa hatua aliyochukua ya kwenda kwenye vyombo vya habari na  kuweka wazi kuwa yeye ndiye baba wa mtoto wa Hamisa. Kwa muda mrefu katika mazingira mbalimbali Diamond alikanusha kuwa name uhusiano na Hamisa name pia kuzaa naye. Leo kwa kupitia kipindi cha Leo Tena Diamond amekubali kuwa shetani alimpitia na amewahi kuwa name mahusiano ya kimapenzi na Hamisa.

Baada ya mahojiano hayo kuruka hewani mwanadada Faiza kwa kupitia ukurasa wake wa Instagram alifunguka new kuandika yafuatayo:

download latest music    

“Nasikiliza Clouds FM Naseeb nakupenda wewe ni mwanaume ea maana  saana sema wanawake wa Uswahilini ni kama ile methali ya Hamisi, yaani unaweza ukamtoa Hamisi shamba lakini usilitoe shamba kichwani kwa Hamisi #hope hutarudia Tena ujinga wako”.

Inasemekana Kuwait suala la Diamond kumkubali mtoto huyo na kumuhusumia limemgusa sana Faiza kwa sababu halo aliyonayo saivi ni Kuwa baba wa mtoto wake hamuhudumii mtoto wake ipasavyo ndio maana ameona kitendo alichofanya Diamond ni  cha kishujaa.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.