Faiza Amtolea Povu Mzazi Mwenzie Sugu

Mwanamitindo na mlimbwende Faiza Ally asiyeishiwa na vituko mtandaoni ameingia katika ugomvi mwingine na mzazi mwenziye Mh. Joseph Mbilinyi “Sugu” mbunge wa Mbeya kuhusiana na malezi ya binti yao Sasha. Kupitia ukurasa wake wa instagram Faiza amefunguka yaliyo moyoni mwake mara baada ya kumpeleka mtoto wake shule na yeye kurudishwa getini kwa sababu ya kushindwa kulipa ada.

Faiza ameandika:

download latest music    

“Na hasira zangu za shule nazirudisha kwake kwa sababu na yeye ni muhusika kama mzazi! Kwanza kabisa nakuita mbunge mpumbavu sana! Inakuaje serikali inakupa madaraka makubwa kiasi hicho? Wakati unashindwa kuendesha maisha ya mtoto wako mmoja tu? Mbunge gani usie jua mwanao analipaje ada? Mbunge gani usiyejua mwanao analala wapi? Mbunge gani usiyejua mwanao ana mahitaji anakula nini? pumbavu wewe unaendekeza mbunge tu na bangi na konyagi? how? Can you call yourself mheshimiwa? Kwa heshma ipi? Hivi wewe ulilazimishwa kunipa mimba? We si ulikuwa unalialia unataka mtoto f*** wewe? Ulinizalisha ili unikomoe? Na kwambia hustahili hata kuwa na rafiki kama Msigwa, Lema sio wenzako u belong kitaa utarudi mtaani there is where u belong unaona wenzako wametupa watoto? Huna hata haya huoni hata mfano kwa Prof. Jay kwa mwanae? how can you punish Sasha for no reason ! Shame on you Joseph! na sasa nakushtaki naona punda haendi  bila mzigo! Eti Jay Z and Obama ndo role models wako how? huoi hao ma role models wako na familia zao wakoje? Sielewi how did i fall in love wewe sijielewi how did i fall in love na inakuaje bado nakupenda mtu kama wewe. Sasa naiomba serikali iingilie kati haya maswala kati ya viongozi wasiojali watoto wao!  I hate you baba jina na nikifa najua ni wewe adui wa maisha yangu!.”

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.