Familia Yaingilia Kati Hali ya Afya ya Taiya

mwanadada anaefanya vizuri sasa hivi katika tamthiliya ya Kapuni inayoonyeshwa katika televisheni ya maisha magic bongo Taiya Odero amezidi kuwapa hofu wazazi na ndugu zake kwa sababu ya kupuputka kwa mwili wake ambao umekuwa ukiisha siki hadi siku bila kuwa na sababu yoyote.

Familia ya mrembo huyo imeanza kupata wasiwasi juu ya afya ya mtoto wao baada ya kumuona kila siku mwili unazidi kuisha na bila kuwa na sababu ya maana ya kupungua kwake.

download latest music    

Moja ya watu wa karibu wa mwanadada huyo ambae hakutaka kutajwa na sababu moja ama nyingie ameelezea kuwa  famila ya mrembo taiya imekuwa na wasiwasi sana juu yake na kutaka akapime ili waweze kujua kinachomsumbua lakini hata pale Taiya alipokataa na kusema hana matatizo yoyote familia yake wawalisema watalazimika kumpeleka wao wenyewe.

familia yake sasa ni kama wamepoteza amani kwa sababu yake yeye na afya yake,wanataka kumpeleka hospitali ilikujua afya yake ingawa  muda wote yeye mwenyewe amekuwa akisema yuko sawa na hana tatizo lolote la kiafya ila  amekuwa akipunguza kula vyakula vya kunenepesha tu.

Hata hivyo taiya mwenyewe alisikika akisema kuwa hana tatizo lolote la kiafya lakini kamandugu wanaomjali ni lazima watakuwa na wasiwasi kwa kiasi fulani.

sina tatioz kama ndugu ni lazima  waingiwe na hofu  na mimi niko kwenye  kuwaelewesha kuwa sina taizo lolote-Alisema Taiya.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.