Flaviana Matata Awatolea Povu Wanasiasa

Mwanadada Flaviana Matata ameonekana kukerwa na tabia za wanasiasa  kwa tabia zao za kuwa na aahdai ambazo hazitekelezeki lakini wanakuja kuikososa serikali  punde wanapotoka katika viti hivyo vya uongozi.

Flaviana anasema uwa kitendo icho  kinakuwa kikiwachanganya sana wananchi hasa kwa sababu wao wanakuwa wanaona kile kinachofanyika kipinid wakiwa viongzoi lakini wanashgindwa kufanyia kazi , mwosho wa siku wakiona kuwa wameshatoka katika vile viti vya uongozi wanaanza kupiga kelele

download latest music    

katika ukurasa wake wa twitter, “kuna wanasiaisa wanatoa uamuzi wanajua abisa unatuumiza watu, alafu wakishatumbuliwa ndio wanataka kutuaminisha kuwa wao na sisi.Ebu mjifunze kutenda haki na kufanya maamuzi sahihi mnapokuwa mmekalia hivyo viti. “

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.