Gharama za Matibabu ya Ruge ni Kubwa :-Familia

Familia ya aliyekuwa mkurugenzi wa vipindi Clouds Media RUGE MUTAHABA, amefunguka na kusema kuwa matibabu ya mgonjwa huyo ambae yuko Afrika ya kusini imekuwa kubwa sana wa siku inaweza kufika kaisi cha shilingi milion 5 hadi 6 kiasi kwamba inakuwa ngumu kama familia kuweza kumudu swala hili peke yao

Kaka wa Ruge anasema kuwa wanashukuru kwa sababu watu mbalimbali wamekuwa wakijitahidi kwa ajili ya kumsaidia hasa kipindi wanaanza matibabu , lakini kuna nguvu ya ziada katika pesa inahitajika kwa ajili ya kupata pesa ya matibabu kwa ajili ya mgonjwa.

download latest music    

Gharama za matibabu kwa kule ni kubwa inaweza kufika mpaa milion 5 , au 6 kwa siku, pamoja na wamba hata Mh rais Magufuli aliwahi kutoa pesa kwa ajili ya matibabu lakini  gharama zimekuwa kubwa sana

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.