Gigy Money aeleza sababu hampendi Shilole

Mrembo kutoka Bongo Gigy money ambaye ni star wa video za mziki amefunguka kudai kuwa yeye si shabiki wa nyimbo za Shilole wala hampendi.

Gigy alisema haya baada akisititiza kuwa yeye binafsi ni fan wa hip hop na kwa hilo jambo, yeye anamsupport Rosa Ree. Aliendelea kwa kusema yeye angepata mtu wa kumuandikia mistari, panda kufanya muziki ambao ungewavutia mashabiki wengi. Mrembo huyu alisema,

download latest music    
shilole
shilole

“Sina hata mpango wala sitaki, sio fun wake (Shilole), labda Rosa Ree, tatizo la watu walio up wanasumbua, so hip hop its better, mimi ningepata mtu wa kuniandikia niwe nachana ningependa, I don’t love this kind of music ambayo nafanya, nafanya ili nipate hela, mimi napenda hip hop,”

Hata hivyo Gigy anaonekana kuwa na ‘beef’ na mastaa wa kike kutoka Tanzania.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua