Gigy Money Akiri Kumaliza Mgogoro na Mpenzi Wake

Hivi kaibuni msanii wa bongo fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money alisikika akilalamika kuwa mwanaume wake aliyempa ujauzito(Mo-Jay) amekuwa akimtesa na kutomjali hata kumpiga bila kujali kuwa hali aliyonayo anahitaji kuwa na matunzo na ukaribu wa muda mrefu na mtu anampenda.

Gigy Money ambae ni mjamzito kwa sasa wa takribani miezi saba , aliyasema hayo na kulalamika kuwa amekuwa mwanaume asiyejua majukumu yake kwa mke ilhali kwa hali yake hapswi kufanyiwa vitu kama hivyo.

download latest music    

Lakini jana alipouwa akihojiwa na  Showbiz xtra Gigy Money alifunguka na kusema kuwa kwa sasa wameyamaliza matatizo yao na wako vizuri kabisa  na wameweza kutatua matatizo hayo na sababu kubwa iliyokuwa inawafanya wagombane wameigundua hivyo wameweza kuyamaliza yote.

Sina shida yoyote na mpenzi wangu kwa sasa,kila kitu kipo sawa na yakiwepo ya kuzungumza na kama kuna matatizo ya kuzungumza nitazungumza huko mbele.lakini kw sasa hatuna matatizo yoyte kabisa.-Alisema Gigy Money

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.