Gigy Money Na Amber Lulu Watoa Povu Juu Ya Mahali Wanapoishi

Baada kusemwa kwa muda mrefu kuhusu kukaa katika mitaa ambayo hayaendani na umaarufu wao, wasanii wawili wa kike ambao hawaishiwi drama katika mitandao ya kijamii kila siku na wamekuwa marafiki kwa muda mrefu Amber Lulu na Gigy Money wameamua kuwatolea uvivu wasanii na mashabiki ambao wamekuwa wakiwasema kuwa mahali wanapokaa hapalingani na hadhi yao kimuziki.

Maneno haya yanakuja baada ya kusambaa kwa video ilikuwa ikimuonyesha Gigy Money akigombana na mama mwenye nyumba ana mjumbe wa nyumba kumi huko mtaani kwao na huku mahali hapo pakionekana ni uswazi sana na mazingira hayo hayalinganai na maisha ya msanii tena hasa Gigy Money ambae  muda wote amekuwa akijitamba kuwa yeye ni moja ya wasnii wa kike wenye ela sana.

download latest music    

Baada ya kusambaa kwa tetesi hizo , Gigy Money akiwa na rafiki yake Amber Lulu waliposti  video katika ukurasa wa instragrama na kuongea kuwa watu wanaowasema kuwa wanaishi katika mazingira  yasiyoendana na wao wanasema tu lakini ukweli utababki kuwa kila mtu anaishi kulingana na  hali yake ana wengien wamekuwa wakiwasema hivyo wakati wao wenyewe wamekuwa wakisaidiwa kukaa mjini na kuwa wengine wansahau kuwa  wakati wanakuja mjini walipokelewa na hao hao wanaowasema.

 Watu wangu wa instagram kuna ujumbe nataka niwape najua tunapendana lakini Ifike sehemu tuambiane ukweli unafikiri kwako kukiwa na mazingira mazuri utaza kutoka nyumbani kwako na kwend akutembea sehemu zigine nzuri,bora kwako pawe pabaya ili uweze kutoka na kuwa unatembea tembea,pangeni vijumba vibovu ili mpate muamko wa kutembea.kwanz mnasema tuna nyumba mbovu hizo nyumba mbovu nyie wengine mnazo, mnatoka vijijini tunawapokea kwenye nyumba hizohizo mbovu. kwanza wengine kazi kushindwa mahotelini na kwa mashosti kila siku kutembea na vifuko vya rambo.

nyumba mbaya mmetulipia kodi, wengine  mnatoka vijijini na vifuko vya rambo lakini leo mnatuambia nyumba mbaya, tena mko**

Gigy Money alikumbwa na skendo hiyo ya kugombana na mjumbe wa mtaa anaokaa na baada ya kuambiwa akaombe msamaha alikata.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.