Hali ya Lulu Gerezani Yatajwa Kuwa shwari,Sio Kama Wengi Wanavyodhani.

Hali ya msanii wa maigizo ya bongo movies  Lulu Michael ambea alipata kifungo chake mwaka jana Novemba baada ya kukutwa na hatia ya kuua bila kukusuida msanii mwenzie ambae alikuwa mpenzi wake steven kanumba  yatajwa kuwa ni nzuri tofauti na vile watu wengi walivyokuwa wakidhani kwa sababu watu wengi walikuwa wakimuonea huruma kutokana na maisha mazuri aliokuwa akiishi alipokuwa uraiani.

Mwandishi wa magezeti katika kampuni ya GPL,alikwenda katika gerza aliliopo Lulu kwa ajili ya kutaka kumjulia hali na kuhojiana nae ili kujua hali yake kwa wakati huu tangu amezna kutumikia kifungi chake ambapo bahati mbaya maafisa wa gerza hilo walikataa kumruhusu kutokana na kwamba kwa utaratibu wa gerezani watu wanaopaswa kumuona mfungwa ni wale wa karibu nae na ambao wanakuwa wameandikwa katika vitabu vya kumbukumbu.

download latest music    

hata baada ya kushindwa kuingia ndani wa ajili ya kumuona lulu michael, mwandishi alianza kupiga stori na moja ya watu waliokuwa mlangoni hapo ambao wapo kwa ajili ya kufanya kazi zinazowahusu gerezani hapo abae alianza kwa kusema kuwa lulu kwa sasa hali yake ni shwari sio kama mwanzo kwa sababu muda wote amekuwa ni mtu mwenye tabasamu na ameanza kunawiri kutokana na kuyazoea maisha ya huko.

yaani amenenepa sana sasa hivi, tofauti na vile mwanzo alivyokuwa amekuja,anaendelea vizuri na hajwahi kuugua ugonjwa wowote tangu amekuja.

Afisa huyo anaendelea kusema kuwa mara nyingi lulu amekuwa akiwashangaza ndugu na  jamaa zake kwa sababu wengi wanakuja wakimuonea huruma lakini yeye mwenyewe anakuwa na sura  ya kujiamini na kujifariji muda wote.

anawashangaza kwakweli ndugu zake wanaokuja kila wiki kumuona,anawafariji na kuwapa moyo utafikiri yeye ndie yupo sehemu nzuri kuliko wenzake.huyu binti anasali sana na mara nyingi utasiki akiwaambia wenzie kuwa wasihuzunike kabisa,wachukulie tu kama yupo shule ya boarding atatoka tu.-Alisema afisa huyo.

Muna Love ambae ni rafiki na ndugu wa karibu wa familia ya msanii huyo ambae muda wote alikuwa bega kwa bega nae , alikiri kuwa ni kweli lulu amekuwa mtu wa kuwatia moyo sana ndugu zake wanapokwenda kumuona na hata hali yake kiafya sio kama vie walivyodhani itakuwa ya kunyongonea siku zote.

ni kweli anatushangaza hata sisi kwanza amenenpa sana, mara nyingine tunapokwenda kumuon  sisi tunakuwa na simanzi lakini  yeye anakuwa ndie mfariji wetu na kutuambia kuwa atatoka tu

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.