Hamisa Mobetto Atumiwa Ujumbe Huu na Mpenzi Wake

Mwanamitindo na msanii wa Bongo movie Hamisa Mobetto ameonekana kuwa katika Penzi zito na Mpenzi Wake ambaye ni mcheza kikapu cha kulipwa nchini Marekani Josh Adeyeye.

Hamisa aliweka wazi mahusiano yake na Josh Wiki chache zilizopita baada ya kuposti picha na video zikiwaonyesha wakibebana kimahaba na hata kumpa uhusika wa Mpenzi Wake kwenye video ya nyimbo yake ‘Tunaendana’.

download latest music    

Siku ya jana Hamisa aliweka wazi kuwa amerudi nchini Tanzania Baada ya kukaa nchini Marekani kwa muda wa mwezi ambako alikuwa anapiga shoo katika miji mbali mbali.

Ingawa ni siku chache tangu Hamisa amuache Josh nchini Marekani wawili hao wameonekana kumisiana kwani Josh amemposti Hamisa kupitia ukurasa wake wa Instagram na kuweka wazi kuwa amemiss na siku si nyingi atamuona.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.