Hamisa Mobetto na Lulu Diva Kupamba Steji Moja Nchini Uingereza

Mwanamuziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri hivi sasa na ngoma yake ya ‘Amezoea’ Lulu Diva atapanda steji moja Hamisa Mobetto katika uzinduzi wa Lipstick zake nchini Uingereza.

Mzazi mwenza wa staa Bongo fleva Diamond Platnumz, Hamusa Mobetto anatarajia kuzindua rasmi lipstick zake zinazojulikana Kama “Charmed Cosmetic”.

download latest music    

Kwenye uzinduzi huo utakaofanyika tarehe 5 Mei 2018, utasindikizwa na burudani toka kwa Lulu Diva ambaye ametoa wimbo wake mpya hivi karibuni unaoenda kwa jina la Huba.

Hamisa alitangaza habari hiyo njema kupitia ukurasa wake wa Instagram, ambapo aliandika:

 

United Kingdom get ready. Business marketing my charmed cosmetics lipstick launch coming soon. Live performance by the sexy Lulu Diva. We come for serious business”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.