“Hamisa Ndio Kiboko Ya Zari”- Maimartha

Mtangazaji mkongwe nchini Maimartha Wa Jesse amerudi tena kwenye headlines za mitandao ya kijamii Baada ya kutoa kauli tata ya Hamisa Mobetto dhidi ya Zarinah Hassan.

Siku mbili zilizopita mlimbwende Hamisa Mobetto alikuwa anasheherekea siku yake ya kuzaliwa na mmoja kati ya watu waliojitokeza kumtakia Birthday njema n Maimartha.

download latest music    

Maimartha Kupitia ukurasa wake wa Instagram alimuandikia ujumbe ambao ulizua maswali kwani alimuhusisha Mobetto na adui yake namba moja Zari ambapo aliandika maneno haya:

Happy Birthday Hamisa Kiboko ya Zari, ulijua kuwaparaganisha na Chibu…Zari alitamani akumeze ishi maisha dill yenye mafanikio”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.