Harmonize Ajibu Tuhuma Za Makonda Za Kuvuta Bangi

Mwanamuziki wa Bongo fleva kutokea katika Label ya WCB, Harmonize amefunguka na kukiri tuhuma zlizotupiwa na mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda kuhusu kuvuta Bangi.

Wiki iliyopita RC Makonda alimtuhumu Harmonize  kwamba huwenda akawa anatumia bangi baada ya kuonekana akivuta sigara yenye moshi mzito katika moja ya video ambayo aliiweka mitandaoni.

download latest music    

Katika hali ya kujitea Harmonize ameibuka na kukataa kabisa tetesi hizo na kusema wazi kuwa moshi ambao umeonekana kwenye video za Instagram ulikuwa moshi wa sigara na sio wa Bangi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Harmonize alijibu tuhuma hizo kwa njia za utani akilihusisha na suala la Simba kufungwa goli 5 na Al Alhy ya Misri.

WAKATI MWINGINE TUACHENI UTANI TUWENI SERIOUS …!!! HIVI MIE NILIEJIPOST NA MIMOSHI YA SIGARA TENA SIGARA EMBASY HIYO BANGE YENYEWE NAISIKIA KWENYE BOMBA…!!! NA HAWA WACHEZAJI WA @SIMBASCTANZANIA
NANI WAKUSOKOMEZWA NDANI TUKITUA BONGO…???? ??? HEBU ANGALIENI WANAVOTESA WATU WASIOKUWA NA HATIA ?
MINAZANI TUNGEANZA NA @HAJISMANARAKWANZA AKAMATWE ACHUNGUZWE….!!! ??”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.