Harmonize Atangaza Kolabo Yake na Burna Boy Toka Nigeria

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Harmonize ameibuka na kudokeza kwa ujio wa kolabo yake na staa wa muziki kutoka Nigeria maarufu kama Burna Boy.

Harmonize ambaye yuko nchini Nigeria kwa sasa ameonekana akiwa na Burnay Boy katika maeneo tofauti tofauti lakini pia akipost moja ya picha aliyopiga na Burna Boy na kuweka wazi kuwa kuna ujio wa kolabo yake mpya na mshindi huyo wa tuzo tatu za Sound city.

download latest music    

Lakini pia Htonize amedokeza ujio wa kolabo hiyo bila kutoa taarifa zaidi Mpaka sasa Harmonize ameshafanya kolabo na wasanii zaidi ya wanne wa Nigeria.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.