Harmonize Atoa Siri Kuhusu EP Ya Afro Bongo

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva kutoka katika label ya WCB, Harmonize amefunguka na kutoa siri kuhusu EP (Extended Playlist) yake ya Afro Bongo.

Wiki iliyopita Harmonize aliachia ngoma nne kwa Mpigo alizozipa jina la Afro Bongo Lakini jana  ametoa siri kuwa video za nyimbo zake nne zote zipo tayari.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Harmonize ameweka wazi kuwa tayari video za nyimbo zote nne akizoziachia ziko tayari.

MHH…!!! USICHOKIJUA NIKWAMBA
NGOMA ZOTE ULIZOZISIKIA KWENYE 
#AFROBONGO VIDEO ZAKE ZOTE ZIPO TAYALI BASI HAPA NILIVYOKAA NI KAMA MZEE YUSUFU YANI SINA PLESHAAA KWENYE TAALUMA YANGU …!! ?
OYAAA…!!! LINK PA BIO × 
@yemialade ???? @krizbeatz_ LET’S GO …!!!”.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.