Harmonize Kupita Tena na Dully Sykes

Msanii wa muziki wa Bongo fleva kutoka katika label ya WCB Harmonize, ameweka wazi nia yake ya kupita tena na kufanya kazi na Msanii mwenzake Dully Sykes.

Harmonize ametangaza ujio wa  ngoma yake inayokuja hivi karibuni aliyomshirikisha Msanii mkongwe wa Bongo fleva Prince Dully Sykes.

download latest music    

Harmonize ameweka wazi kuwa mashabiki wajiandae mkao wa kul kwa sababu ngoma hiyo itakuwa kali kupita maelezo.

Kipitia ukurasa wake wa Instagram, Harmonize ameandika posti hii kuhusu ujio wa ngoma hiyo:

Lakini ngoma hii mpya haitakuwa Kolabo ya kwanza kati ya Harmonize na Dully Sykes kwani siku za nyuma walishawahi kutoa wimbo wa ‘Inde’ uliofanya vizuri kabisa.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.