Harmorapa atoa ushauri huu kwa Rais Magufuli

Image: Harmorapa

Baada ya kumalizana na Wema Sepetu, Harmorapa amejipandisha cheo na sasa lengo lake ni Rais.

Harmorapa ako na ushauri kwa Rais Magufuli ambao angetaka atilie maanani.

download latest music    

Hivo ndivyo alivyomweleza:

“Rais Magufuli unajua yeye ndiye mwenye nchi sasa, hivyo mimi namuomba aboreshe zaidi suala la miundombinu natambua amefanya mambo mengi na makubwa kwenye sekta hiyo ila aboreshe zaidi, lakini pia namuomba Rais Magufuli aendelee kuwafinya wale wajanja wajanja kama ambavyo anafanya saizi na kingine atuangalie na sisi wasanii na kazi zetu”

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi