Hata Fid q Anafanya Kiki Katika Muziki-Master Jay
msanii Fid Q akiwa na moja ya tuzo za heshima alizopata hivi karibuni.
Aliyewahi kuwa nguli wa utayarishaji wa muziki nchini, Master Jay maefunguka na kudai kuwa wasanii wenginchini wamekuwa wakifanya kazi kwa vurugu na mbwembwe tu na wala sio kama zamani walivyokuwa wakifanya kazi wao.
Master Jay ambae anasisitiza kuwa wasanii wa sasa wamezoea sana kufanya kazi kwa kiki bla hivyo muziki wao hauendi, anasema kuwa hata msanii mkongwe wa hip-hop Fid qQpia anafanya kazi kwa kiki na ndio maana aliamua kukubali kufanya kazi ya fresh remix.
Wasanii wengi wa sasa wanafanya kazi kwa vurugu vurugu tu ili waachie ngoma pya, hata fid q anafanya kiki tu na ndio maana alikubali kufanya wimbo wa kiki ule wa fresh remix
Ikimbukwe kuwa Master Jay alikuwa ni moja wa watayarishaji mashughuli katika bongo fleva na kusaidia kutoa watu wengi sana ambao historia yao ya muziki ilianzia kwa mtayarisahji huyo, lakini pia Master Jay ni moja ya wakongwe walioweza kufanikisha muziki kufika hapa ulipo akiwa kama mwalimu.