Hata Kama Nikifa Leo, Jina Langu Litabaki -Godzilla

Inaweza kuwa kama  roho ya mauti kumtembelea mtu, kwa nama moja ama nyingine anaweza sijue au akajua lakini akashidwa kusema kwa watu kile anachokuwa akijisikia kwa muda hu.Je hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa Godzilla siku chache zilizopita kabla ya mauti yake, hakuna anaejua.

Msanii Godzilla ambae amekutwa na umauti usiku wa kuamkia February 13, anasemwa kuongea maneno fulani katika ukurasa wake wa tiwtter akisema kuwa hata kama atakufa leo basi jina lake na litabaki daima.

download latest music    

Ni kweli kuwa jina lake haliwezi kusahaulika kutokana na harakati nyingi za kumuziki alizowahi kuzifanya  msanii huyo , lakini maneno haya yanaumiza zaidi kila mtu hasa kwa kusema kama ingewezekana tungeweza kuzia hilo.

Godzilla aliandika “Even if i die today, my name gonna be here….jokes on you

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.