Hatimaye Album Ya Vannesa Mdee Yawafikia Mashabiki

Vannesa Mdee ni moja ya wasanii wa kike waliofanikiwa sana hasa katika swala la  kupiga hatua katika kukuza muziki wake, alikuwa ameshatangaza kwa muda mrefu kuhusu kutoa album yake na hatimaye ile ndoto yake imetimia.Vannesa anaweka rekodi ya wasanii wa kike wachache walioweza kufanya kazi zao za muziki mpaka kutoa album yake mwenyewe.Ni moja ya wasanii wanaotajwa karibia kila siku kuwa ni mpambanaji  katika kufikisha muziki wake mahali fulani.

Albumu hiyo ambayo pia inaonyesha kuwa ina nyimbo nyingi na zingine akiwa amewashirikisha wasanii wengine akiwepo mpenzi wake Jux inaonekana kupokelewa vizuri kabisa na mshabiki wake ambao walikuwa wakiisubiri kwa hamu album hiyo.

download latest music    

Akiwaalika mashabiki wake kuungana ane katika kuipokea album hiyo Vannesa Mdee jana alithibitisha kutoa kwa album hiyo na kuandika kuwa

‘Itis time..This is official album cover, #MoneyMondayTheAlbum….long time coming money monday.

 

Vannesa hivi karibuni alitangaza kusainiwa katika studi ya Unniversal , ambayo ni Menejiment kubwa Duniana yenye kulipa mkwanja mrefu zaidi na ni msanii wa kwanza Vannesa kusainiwa kwa ela iyo Afrika.

Hongera kwake vannesa kwa kufanikiwa kwa hilo lakini pia hamu na kiu kubwa ya mashabiki pia ipo kwa msanii diamond ambae pia ametangza kutoa albumu yake ya A Boy From Tandale itakayo toka kabla ya mwaka kuisha.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.