Hawa Ndio Mastaa Waliomtakia Wema Birthday Njema (picha ndani)

Ikiwa jana ilikuwa siku ya kuzaliwa ya Mrembo Wema Sepetu mwigizaji wa filamu za bongo movie na moja ya watu maarufu sana nchini, Watu wengi walijitokeza kumtumia salamu za pongezi mrembo huyo ikiwemo mastaa mbalimbali.

Wafuatao ni baadhi tu ya mastaa waliotuma salamu zao;

download latest music    

1. Ali Kiba

Mwanamuziki Ali kiba kama rafiki wa karibu wa Wema alimtumia salamu njema za birthday.

2. Diamona Platnumz

Pamoja walikuwa wapenzi zamani lakini wakaachana Diamond na Wema wamebaki kuwa marafiki wazuri hivyo alimtumia salamu hizo za birthday.3. 

3. Idris Sultan

Idris na Wema wamekuwa marafiki wazuri pamoja na kutokuwa pamoja kimapenzi lakini Idris alimtumia Wema ujumbe wa birthday

4. Jokate

Mrembo Jokate Mwegelo na yeye alimtumia rafiki yake Wema salamu njema za birthday.

5. Aunty Ezekiel

Muigizaji Aunty na yeye alimtumia ujumbe huu wa birthday Wema.

6. Zamaradi Mketema

Mtangazaji Zamaradi na yeye alimtumia ujumbe wa birthday rafiki yake Wema Sepetu.

7. Esma Platnumz

Dada yake na Diamond naye ambaye amekuwa rafiki wa Wema alimtumia salamu hizo za birthday.

8. Hamisa Mobetto

Mrembo Hamisa Mobetto naye alimtumia dada yake salamu za birthday njema.

Hao ni baadhi tu wa mastaa waliojitokea kumtumia salamu hizo za hadhara kwenye mtandao wa instagram jana.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.