Haya ni Maneno ya Nay wa Mitego Baada ya Kukutana na BASATA
October 17 msanii Nay wa Mitego aliitwa na Baraza la Sanaa Tanzania na alifanikiwa kufika ofisni hapo na kupokea barua yake ingawa baada ya kutoka hakuna aliyejua Nay wa Mitego ameambiwa nini na BASATA, kitu ambach watu wamekuwa wakitaka kujua ni kitu gani kimetokea,
hata hivyo baada ya muda kidogo katika ukurasa wake wa instagram Nay wa Mitego aliweka picha yenye kufunga na taswira nzito huku akindika ujumbe uliosomeka hivi ”
unaweza kugungwa kila kitu, midomo, miguu,mikon na kazi pia kila kitu lakini kamwe huwezi kufunga mtazamo wa mtu itafungwa kwa sababu lakini mida ikitimia hakuna kinachoshindikana,.
Mara ya kwanza Nay wa mitego alisema kuwa aliwahi kupigiwa simu na BASATA na kumabiw kuwa wimbo wake umekuwa moja ya nyimbo nzuri na za kuhamasisha jamii.