Haya ni Maneno ya Nay wa Mitego Baada ya Kukutana na BASATA

October 17 msanii Nay wa  Mitego aliitwa na Baraza la Sanaa Tanzania  na alifanikiwa kufika ofisni hapo na kupokea barua yake ingawa baada ya kutoka hakuna aliyejua Nay wa Mitego ameambiwa nini  na BASATA, kitu ambach watu wamekuwa wakitaka kujua ni kitu gani kimetokea,

hata hivyo baada ya muda kidogo katika ukurasa wake wa instagram Nay wa Mitego aliweka picha yenye kufunga na taswira nzito  huku akindika ujumbe uliosomeka hivi ”

download latest music    

unaweza kugungwa kila kitu, midomo, miguu,mikon na kazi pia kila kitu lakini kamwe huwezi kufunga mtazamo wa mtu itafungwa kwa sababu lakini mida ikitimia hakuna kinachoshindikana,.

Mara ya kwanza Nay wa mitego alisema kuwa aliwahi kupigiwa simu na BASATA na kumabiw kuwa wimbo wake  umekuwa moja ya nyimbo nzuri na za kuhamasisha jamii.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.